Psalms 6:1

Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

(Kwa Mwimbishaji: Kwa Ala Za Nyuzi Za Muziki. Mtindo Wa Sheminithi.
Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.
Zaburi Ya Daudi)


1 bEe Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Copyright information for SwhKC