Psalms 6:1
Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu
(Kwa Mwimbishaji: Kwa Ala Za Nyuzi Za Muziki. Mtindo Wa Sheminithi. ▼▼ Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi Ya Daudi)
1 bEe Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Copyright information for
SwhKC